Pata taarifa mbalimbali za Kisiasa, Uchumi, Dini pamoja na simulizi mbali mbali za kusikitisha zikiambatana na Makala pamoja na Tahrir za Kusisimua..
#AJALI.Watu watatu wamefariki dunia na sita kujeruhiwa kwenye ajali iliyo husisha basi la saibaba lenya namba za usajili T720 ADE na lori la mizigo aina ya Mitsubishi CANTER T 742 CRS zilizo gongana uso kwa uso katika eneo la sakina jijini arusha.
No comments:
Post a Comment