soundcloud

SAHAMA HAMAD 18 - Pata taarifa mbalimbali za Kisiasa, Uchumi, Dini pamoja na simulizi mbali mbali za kusikitisha zikiambatana na Makala pamoja na Tahrir za Kusisimua.. Pia tuwasiliane kupitia +255659887692 AHSANTENI...

Tuesday, 24 May 2016

#MSHAURI WA UCHUMI:

Rais Dkt.John Pombe Magufuli amemteua Profesa Longinus Rutasitara kuwa Mshauri wake katika masuala ya Uchumi.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Rais Ikulu, Dar es Salaam ikimnukuu Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi ilieleza kuwa uteuzi huo unaanza mara moja,Profesa Rutasitara alikuwa Mhadhiri wa Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).

No comments:

Post a Comment