soundcloud

SAHAMA HAMAD 18 - Pata taarifa mbalimbali za Kisiasa, Uchumi, Dini pamoja na simulizi mbali mbali za kusikitisha zikiambatana na Makala pamoja na Tahrir za Kusisimua.. Pia tuwasiliane kupitia +255659887692 AHSANTENI...

Friday, 3 April 2015

BREKING NEWS AJALI YA BASI MORO


Watu watano wamefariki dunia papo hapo na wengine 15 kujeruhiwa baada ya basi waliokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda Shinyanga kupinduka mkuoni Morogoro.