Maalim seif na Balozi Seif washiriki mazishi ya mkwe wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Makamu wa kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad akimsikiliza kwa makini Waziri wa Mkuu Mizengo Pinda wakati wa mazishi ya mkwewe yaliyofanyika Dar.
Makamu wa kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad akijumuika na viongozi wengine kwenye mazishi ya mkwe wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
Vingozi mbalimbali wamehudhuria katika mazishi ya mkwewe Waziri Mkuu Mhe. Mizengo
Pinda Bw,Abdallah Suleiman Rehani.Marehemu amesaliwa Tabata Magengeni na kuzikwa katika makaburi ya Segerea.
Makamu wa kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad akimsikiliza kwa makini Waziri wa Mkuu Mizengo Pinda wakati wa mazishi ya mkwewe yaliyofanyika Dar.
Makamu wa kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad akijumuika na viongozi wengine kwenye mazishi ya mkwe wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
Vingozi mbalimbali wamehudhuria katika mazishi ya mkwewe Waziri Mkuu Mhe. Mizengo
Pinda Bw,Abdallah Suleiman Rehani.Marehemu amesaliwa Tabata Magengeni na kuzikwa katika makaburi ya Segerea.