soundcloud

SAHAMA HAMAD 18 - Pata taarifa mbalimbali za Kisiasa, Uchumi, Dini pamoja na simulizi mbali mbali za kusikitisha zikiambatana na Makala pamoja na Tahrir za Kusisimua.. Pia tuwasiliane kupitia +255659887692 AHSANTENI...

Sunday, 19 April 2015

MZEE MOYO ATUPWA NJE CCM

Halmashauri kuu ya C.C.M Mkoa wa Magharibi Unguja kupitia kikao chake kilichomalizika muda huu Kimemvua Uanachama wa C.C.M Mzee Hassan Nassor Moyo kuwa si mwanachama tena wa C.C.M. Mwenyewe Mzee Moyo anasema hajashitushwa na uamuzi huo na kamwe hatorudi nyuma kupigania Maslahi ya Zanzibar

No comments:

Post a Comment