YALIYOJIRI LEO CUF

-Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi-CUF, Prof.Ibrahim Haruna Lipumba ametangaza kujiuzuli wadhifa wake huo mbele ya Waandishi wa habari kwenye `hoteli ya Peacock,Jijini Dar es salaam leo.
Prof. Lipumba amesema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kukiukwa kwa Katiba ya Chama chao,hivyo yeye atabaki kuwa mwanachama.

-Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi-CUF, Prof.Ibrahim Haruna Lipumba ametangaza kujiuzuli wadhifa wake huo mbele ya Waandishi wa habari kwenye `hoteli ya Peacock,Jijini Dar es salaam leo.
Prof. Lipumba amesema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kukiukwa kwa Katiba ya Chama chao,hivyo yeye atabaki kuwa mwanachama.