soundcloud

SAHAMA HAMAD 18 - Pata taarifa mbalimbali za Kisiasa, Uchumi, Dini pamoja na simulizi mbali mbali za kusikitisha zikiambatana na Makala pamoja na Tahrir za Kusisimua.. Pia tuwasiliane kupitia +255659887692 AHSANTENI...

Wednesday, 16 March 2016

Kamata kamata yaendelea Zanzibar

Kiongozi wa Cuf atiwa mbaroni Leo na jeshi la polisi Zanzibar

Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na Umma wa CUF, Mheshimiwa Hamad Masoud Hamad, amekamatwa na Polisi akiwa nyumbani kwake Mbweni mapema asubuhi ya leo. Cuf inaendelea kufuatilia suala hilo na itatoa  taarifa kuhusu  kinachoendelea.

No comments:

Post a Comment