soundcloud

SAHAMA HAMAD 18 - Pata taarifa mbalimbali za Kisiasa, Uchumi, Dini pamoja na simulizi mbali mbali za kusikitisha zikiambatana na Makala pamoja na Tahrir za Kusisimua.. Pia tuwasiliane kupitia +255659887692 AHSANTENI...

Thursday, 23 April 2015

Faida ya Kunywa Juice ya ukwaju



Faida ya Kunywa Juice ya ukwaju

Tunda* la ukwaju* ni* tunda* lenye* faida* nyingi* sana* kwa* afya* ya* mwanadamu. Tunda* hili* huweza* kutumika* kutengeneza* juisi* ambayo* matumizi* yake** yana* faida* kubwa* sana* katika* afya* ya* mwili* wa* mwanadamu.

NAMNA* YA* KUTENGENEZA* JUISI* YA* UKWAJU.*

Nunua* ukwaju* wako, ukwaju* unapatikana* kwa* wingi* sana* masokoni* na kwenye* supermarkets

  • andaa maji kwenye dishi na uoshe kidogo tuu*
  • baada ya kuuosha chukua ukwaju wako weka kwenye sufuria yenye maji ya saizi na injika jikoni*
  • uache uchemke* kwa dakika 10/15 ili uuwe vijidudu*
  • ipua ukwaju wako jikoni na uache kwa muda upoe*
  • andaa maji yako masafi na chujio ili uweze kuchuja juice yako kwa uangalifu zaidi ili upate juice yenyewe
  • weka sukari kwa kiasi unachopendelea*
  • pia ili kupunguza ukali unaweza ukaweka hiliki au vanila ili kupata taste*
  • weka juice yako kwenye fridge ili ipoe tayari kwa kunywa* FAIDA * YA* JUISI* YA* UKWAJU.*


    1. Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini*'antioxidants' ambavyo huzuia Saratani (cancer)
    2. Chanzo cha Vitamini B na C vile vile "carotentes"
    3. Hushusha joto la mwili na kuondosha homa,*hasa homa ya malaria na homa ya matumbo
    4. Huulinda mwili*dhidi ya mafua na kero za mafua kooni
    5. Husaidia myeyusho na*mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa
    6. Husaidia kutibu matatizo ya nyongo (bile disorders)
    7. Husaidia kurahisisha choo (laxative)
    8. Husaidia kupunguza wingi wa lehemu (cholesterol) na hivyo*kuimarisha moyo
    9. Husaidia ngozi kuwa nyororo,*vile vile husaidia*ngozi inayopona baada ya kuungua au yenye vidonda
    10. Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa watoto wadogo)


    NB: Ikiwa ukwaju na asali havikudhuru, basi changanya hivyo viwili ili kupata faida maradufu!



No comments:

Post a Comment