Kampuni
ya Azam Marine kuleta boti mpya hivi karibuni,kwa mujibu wa taarifa
kupitia mtandao wao wameleza kuwa kwa sasa boti hio ya Kilimanjaro 5
imeshatoka sehemu ambayo ilikua inatengezwa na tayari kwa sasa imeshuka
baharini kwa majiribio.
Taarifa hio pia imeleza kwamba wanatarijia mnamo mwezi wa tano au wa sita tayari itawasili rasmi Zanzibar kwa ajili ya kuanza kazi.
Taarifa hio pia imeleza kwamba wanatarijia mnamo mwezi wa tano au wa sita tayari itawasili rasmi Zanzibar kwa ajili ya kuanza kazi.
